Skip to content
Customize Consent Preferences

We use cookies to help you navigate efficiently and perform certain functions. You will find detailed information about all cookies under each consent category below.

The cookies that are categorized as "Necessary" are stored on your browser as they are essential for enabling the basic functionalities of the site. ... 

Always Active

Necessary cookies are required to enable the basic features of this site, such as providing secure log-in or adjusting your consent preferences. These cookies do not store any personally identifiable data.

No cookies to display.

Functional cookies help perform certain functionalities like sharing the content of the website on social media platforms, collecting feedback, and other third-party features.

No cookies to display.

Analytical cookies are used to understand how visitors interact with the website. These cookies help provide information on metrics such as the number of visitors, bounce rate, traffic source, etc.

No cookies to display.

Performance cookies are used to understand and analyze the key performance indexes of the website which helps in delivering a better user experience for the visitors.

No cookies to display.

Advertisement cookies are used to provide visitors with customized advertisements based on the pages you visited previously and to analyze the effectiveness of the ad campaigns.

No cookies to display.

UFUGAJI WA MIFUGO

Mfugaji wa mifugo ni nani?

Huyu ni mtu ama Kampuni ambayo inafanya shughuli la usimamizi na uzalishaji (breeding) wa mifugo za nyumbani kwa nia ya kupokea bidhaa kama maziwa na nyama ili kufaidika kibiashara.

Mfugaji wa mifugo hupokea mapato kutoka kwa uuzaji wa wanyama na bidhaa zao kama nyama, ngozi, maziwa na kadhalika.

Ufugaji wa mifugo, wa kuku, kilimo cha bustani (horticulture), ufugaji wa samaki na utengenezaji/usindikiaji wa bidhaa za kilimo.

(Visited 16 times, 1 visits today)

Kama unataka kusajili jina la biashara ya mifugo, unaweza kutembelea Ofisi ya Huduma ya Usajili Uganda (URSB).

Utapewa Cheti cha Kuingizwa (Certificate of incorporation) kama umesajili Kampuni au Cheti cha kusajiliwa kama ni jina la biashara.

    • Wana-shughuli ambao wanataka kufungua ofisi, wanafaa kupokea leseni la biashara kutoka kwa KCCA /Halmashauri ya Manispaa.
    • Shirika ya Mamlaka ya Mapato Uganda (URA)

Kama mkulima amesajiliwa, anahitajika kutii mahitaji ya idara ya ufugaji (husbandry) wa wanyama kwa Wizara ya Kilimo, Viwanda,  Wanyama na  Uvuvi (fisheries).

 

  • Kwa mtu binafsi (individual)

    • Kitambulisho cha Kitaifa (ID)
    • Cheti cha Kusajiliwa kama ni (mtu binafsi)

    Kwa mtu asiye binafsi (non-individual)

    • Fomu ya Kampuni 20
    • Cheti cha Kusajili Kampuni / Shirika (incorporation)

    Bonyeza/finya hapa ili upokee habari  ambazo zinahitajika ili usajili biashara ya mifugo.

  • Unafaa kutembelea tovuti ya URA kwa www.ura.go.ug.
  • Bonyeza / finya hapa ili ujisajili kama mtu binafsi
  • Bonyeza/finya hapa ili ujisajili kama mtu asiye binafsi (non individual)

Bonyeza/finya hapa ili upokee habari kuhusu haki na wajibu wako kama mlipakodi.

Mtu yeyote ambaye anafanya shughuli za bishara za mifugo anafaa kujisajili kwa kodi ya mapato  (kupokea TIN ). Kodi ya mapato inafaa kulipwa na watu wote ambao wanapokea mapato hata akikuwa mtu binafsi, mtu asiye binafsi/ kampuni au ushirikiano.

Retani hizi zinarejeshwa kama retani zingine.

Bonyeza/finya hapa ili upokee namna ya kurejesha retani.

Baada ya kurejesha retani, unahitajika kulipa kodi ukitumia jukwaa (platforms) hizi ambazo ziko kama benki, pesa kwa simu rununu (mobile money), EFT, RTGS, VISA, Mastakadi, USSD (Acode) (*285#) na kadhalika.

Tafadhali jua: tarehe yenyewe ya kulipa kodi ni sawa na tarehe yenyewe ya kurejesha retani.